Zab. 82:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Mungu asimama katika kusanyiko la Mungu;Katikati ya miungu anahukumu.

2. Hata lini mtahukumu kwa dhuluma,Na kuzikubali nyuso za wabaya?

3. Mfanyieni hukumu maskini na yatima;Mtendeeni haki aliyeonewa na fukara;

Zab. 82