4. Tumekuwa lawama kwa jirani zetu,Mzaha na dhihaka kwao wanaotuzunguka.
5. Ee BWANA, hata lini? Utaona hasira milele?Wivu wako utawaka kama moto?
6. Ukali wako uwamwagie mataifa wasiokujua,Na falme za hao wasioliitia jina lako.
7. Kwa maana wamemla Yakobo,Na matuo yake wameyaharibu.