9. Wale Waefraimu, wenye silaha, wapiga upinde,Walirudi nyuma siku ya vita.
10. Hawakulishika agano la Mungu;Wakakataa kuenenda katika sheria yake;
11. Wakayasahau matendo yake,Na mambo yake ya ajabu aliyowaonyesha.
12. Mbele ya baba zao alifanya mambo ya ajabu,Katika nchi ya Misri, konde la Soani.
13. Aliipasua bahari akawavusha;Aliyasimamisha maji mfano wa chungu.