65. Ndipo Bwana alipoamka kama aliyelala usingizi,Kama shujaa apigaye kelele sababu ya mvinyo;
66. Akawapiga watesi wake akawarudisha nyuma,Akawatia aibu ya milele.
67. Ila akaikataa hema ya Yusufu;Wala hakuichagua kabila ya Efraimu.
68. Bali aliichagua kabila ya Yuda,Mlima Sayuni alioupenda.
69. Akajenga patakatifu pake kama vilele,Kama dunia aliyoiweka imara milele.