58. Wakamkasirisha kwa mahali pao pa juu,Wakamtia wivu kwa sanamu zao.
59. Mungu akasikia, akaghadhibika,Akamkataa Israeli kabisa.
60. Akaiacha maskani ya Shilo,Hema aliyoiweka katikati ya wanadamu;
61. Akaziacha nguvu zake kutekwa,Na fahari yake mkononi mwa mtesi.
62. Akawatoa watu wake wapigwe kwa upanga;Akaughadhibikia urithi wake.
63. Moto ukawala vijana wao,Wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,