Zab. 78:43-45 Swahili Union Version (SUV)

43. Alivyoziweka ishara zake katika Misri,Na miujiza yake katika konde la Soani.

44. Aligeuza damu mito yao,Na vijito wasipate kunywa.

45. Aliwapelekea mainzi wakawala,Na vyura wakawaharibu.

Zab. 78