41. Wakarudi nyuma wakamjaribu Mungu;Wakampa mpaka Mtakatifu wa Israeli.
42. Hawakuukumbuka mkono wake,Wala siku ile alipowakomboa na mtesi.
43. Alivyoziweka ishara zake katika Misri,Na miujiza yake katika konde la Soani.
44. Aligeuza damu mito yao,Na vijito wasipate kunywa.