Zab. 78:28-32 Swahili Union Version (SUV)

28. Akawaangusha kati ya matuo yao,Pande zote za maskani zao.

29. Wakala wakashiba sana;Maana aliwaletea walivyovitamani;

30. Hawakuachana na matakwa yao.Ila chakula chao kikali ki vinywani mwao

31. Hasira ya Mungu ikapanda juu yao,Akawaua waliokuwa wanono;Akawaangusha chini vijana wa Israeli.

32. Pamoja na hayo wakazidi kutenda dhambi,Wala hawakuyaamini matendo yake ya ajabu.

Zab. 78