Zab. 78:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Enyi watu wangu, sikilizeni sheria yangu,Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa changu.

2. Na nifunue kinywa changu kwa mithali,Niyatamke mafumbo ya kale.

3. Mambo tuliyoyasikia na kuyafahamu,Ambayo baba zetu walituambia.

Zab. 78