Zab. 77:9-13 Swahili Union Version (SUV)

9. Mungu amesahau fadhili zake?Amezuia kwa hasira rehema zake?

10. Nikasema, Ndio udhaifu wangu huo;Lakini nitaikumbuka miaka ya mkono wa kuume wake Aliye juu.

11. Nitayakumbuka matendo ya BWANA;Naam, nitayakumbuka maajabu yako ya kale.

12. Pia nitaitafakari kazi yako yote;Nitaziwaza habari za matendo yako.

13. Ee Mungu, njia yako i katika utakatifu;Ni nani aliye mungu mkuu kama Mungu?

Zab. 77