Zab. 77:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Nimpazie Mungu sauti yangu,Naam, nimpazie Mungu, naye atanisikia.

2. Siku ya taabu yangu nalimtafuta Bwana;Mkono wangu ulinyoshwa usiku, haukulegea;Nafsi yangu ilikataa kufarijika.

3. Nilipotaka kumkumbuka Mungu nalifadhaika;Nilipotaka kutafakari roho yangu ilizimia.

4. Ulizishika kope za macho yangu zisifumbike;Naliona mashaka nisiweze kunena.

Zab. 77