Zab. 75:7-9 Swahili Union Version (SUV)

7. Bali Mungu ndiye ahukumuye;Humdhili huyu na kumwinua huyu.

8. Maana mkononi mwa BWANA mna kikombe,Na mvinyo yake inatoka povu;Kumejaa machanganyiko;Naye huyamimina.Na sira zake wasio haki wa duniaWatazifyonza na kuzinywa.

9. Bali mimi nitatangaza matendo yako milele,Nitamwimbia Mungu wa Yakobo.

Zab. 75