7. Bali Mungu ndiye ahukumuye;Humdhili huyu na kumwinua huyu.
8. Maana mkononi mwa BWANA mna kikombe,Na mvinyo yake inatoka povu;Kumejaa machanganyiko;Naye huyamimina.Na sira zake wasio haki wa duniaWatazifyonza na kuzinywa.
9. Bali mimi nitatangaza matendo yako milele,Nitamwimbia Mungu wa Yakobo.