Zab. 70:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee Mungu, uniokoe,Ee BWANA, unisaidie hima.

2. Waaibike, wafedheheke,Wanaoitafuta nafsi yangu.Warudishwe nyuma, watahayarishwe,Wapendezwao na shari yangu.

Zab. 70