Zab. 62:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Nafsi yangu yamngoja Mungu peke yake kwa kimya,Wokovu wangu hutoka kwake.

2. Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu,Ngome yangu, sitatikisika sana.

Zab. 62