Zab. 59:10-12 Swahili Union Version (SUV)

10. Mungu wa fadhili zangu atanitangulia,Mungu atanijalia kuwatazama adui zangu.

11. Usiwaue, watu wangu wasije wakasahau;Uwatawanye kwa uweza wako,Na kuwaangamiza, Ee Bwana, ngao yetu.

12. Kwa dhambi ya kinywa chao,Na kwa neno la midomo yao,Wanaswe kwa kiburi chao,Kwa ajili ya kulaani na uongo wasemao.

Zab. 59