Zab. 56:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Mungu, unirehemu, maana yuko atakaye kunimeza,Mchana kutwa ananionea akileta vita.

2. Adui zangu wanataka kunimeza mchana kutwa,Maana waletao vita juu yangu kwa kiburi ni wengi.

3. Siku ya hofu yangu nitakutumaini Wewe;

4. Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake.Nimemtumaini Mungu, sitaogopa;Mwenye mwili atanitenda nini?

Zab. 56