1. Ee Mungu, uisikilize sala yangu,Wala usijifiche nikuombapo rehema.
2. Unisikilize na kunijibu,Nimetanga-tanga nikilalama na kuugua.
3. Kwa sababu ya sauti ya adui,Kwa sababu ya dhuluma yake yule mwovu.Kwa maana wananitupia uovu,Na kwa ghadhabu wananiudhi.