Zab. 44:4-6 Swahili Union Version (SUV)

4. Ee Mungu, Wewe ndiwe mfalme wangu,Uagize mambo ya wokovu kwa Yakobo.

5. Kwa nguvu zako tutawaangusha watesi wetu;Kwa jina lako tutawakanyaga watupingao.

6. Maana sitautumainia upinde wangu,Wala upanga wangu hautaniokoa.

Zab. 44