Zab. 42:9-10 Swahili Union Version (SUV)

9. Nitamwambia Mungu, mwamba wangu, Kwa nini umenisahau?Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?

10. Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu,Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?

Zab. 42