Zab. 4:6-7 Swahili Union Version (SUV)

6. Wengi husema, Nani atakayetuonyesha mema?BWANA, utuinulie nuru ya uso wako.

7. Umenitia furaha moyoni mwangu,Kupita yao wanapozidishiwa nafaka na divai.

Zab. 4