Zab. 36:9-11 Swahili Union Version (SUV)

9. Maana kwako Wewe iko chemchemi ya uzima,Katika nuru yako tutaona nuru.

10. Uwadumishie wakujuao fadhili zako,Na wanyofu wa moyo uaminifu wako.

11. Mguu wa kiburi usinikaribie,Wala mkono wa wasio haki usinifukuze.

Zab. 36