Zab. 35:4-7 Swahili Union Version (SUV)

4. Waaibishwe, wafedheheshwe,Wanaoitafuta nafsi yangu.Warudishwe nyuma, wafadhaishwe,Wanaonizulia mabaya.

5. Wawe kama makapi mbele ya upepo,Malaika wa BWANA akiwaangusha chini.

6. Njia yao na iwe giza na utelezi,Malaika wa BWANA akiwafuatia.

7. Maana bila sababu wamenifichia wavu,Bila sababu wameichimbia shimo nafsi yangu.

Zab. 35