Zab. 35:24-26 Swahili Union Version (SUV)

24. Unihukumu kwa haki yako,Ee BWANA, Mungu wangu,Wala wasinisimangize.

25. Wasiseme moyoni, Haya! Ndivyo tutakavyo;Wasiseme, Tumemmeza.

26. Waaibishwe, wafedheheshwe pamoja,Wanaoifurahia hali yangu mbaya.Wavikwe aibu na fedheha,Wanaojikuza juu yangu.

Zab. 35