24. Unihukumu kwa haki yako,Ee BWANA, Mungu wangu,Wala wasinisimangize.
25. Wasiseme moyoni, Haya! Ndivyo tutakavyo;Wasiseme, Tumemmeza.
26. Waaibishwe, wafedheheshwe pamoja,Wanaoifurahia hali yangu mbaya.Wavikwe aibu na fedheha,Wanaojikuza juu yangu.