Zab. 30:9-11 Swahili Union Version (SUV)

9. Mna faida gani katika damu yanguNishukapo shimoni?Mavumbi yatakusifu?Yataitangaza kweli yako?

10. Ee BWANA, usikie, unirehemu,BWANA, uwe msaidizi wangu.

11. Uligeuza matanga yangu kuwa machezo;Ulinivua gunia, ukanivika furaha.

Zab. 30