Zab. 21:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee BWANA, mfalme atazifurahia nguvu zako,Na wokovu wako ataufanyia shangwe nyingi sana.

2. Umempa haja ya moyo wake,Wala hukumzuilia matakwa ya midomo yake.

Zab. 21