Zab. 16:9-10 Swahili Union Version (SUV)

9. Kwa hiyo moyo wangu unafurahi,Nao utukufu wangu unashangilia,Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini.

10. Maana hutakuachia kuzimu nafsi yangu,Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu.

Zab. 16