Zab. 150:4-6 Swahili Union Version (SUV)

4. Msifuni kwa matari na kucheza;Msifuni kwa zeze na filimbi;

5. Msifuni kwa matoazi yaliayo;Msifuni kwa matoazi yavumayo sana.

6. Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA.Haleluya.

Zab. 150