Zab. 126:3-5 Swahili Union Version (SUV)

3. BWANA alitutendea mambo makuu,Tulikuwa tukifurahi.

4. Ee BWANA, uwarejeze watu wetu waliofungwa,Kama vijito vya Kusini.

5. Wapandao kwa machoziWatavuna kwa kelele za furaha.

Zab. 126