Zab. 124:2-6 Swahili Union Version (SUV)

2. Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi,Wanadamu walipotushambulia.

3. Papo hapo wangalitumeza hai,Hasira yao ilipowaka juu yetu

4. Papo hapo maji yangalitugharikisha,Mto ungalipita juu ya roho zetu;

5. Papo hapo yangalipita juu ya nafsi zetuMaji yafurikayo.

6. Na ahimidiwe BWANA;Asiyetutoa kuwa mawindo kwa meno yao.

Zab. 124