Zab. 122:4-8 Swahili Union Version (SUV)

4. Huko ndiko walikopanda kabila,Kabila za BWANA;Ushuhuda kwa Israeli,Walishukuru jina la BWANA.

5. Maana huko viliwekwa viti vya hukumu,Viti vya enzi vya mbari ya Daudi.

6. Utakieni Yerusalemu amani;Na wafanikiwe wakupendao;

7. Amani na ikae ndani ya kuta zako,Na kufanikiwa ndani ya majumba yako.

8. Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zanguNiseme sasa, Amani ikae nawe.

Zab. 122