Zab. 121:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Nitayainua macho yangu niitazame milima,Msaada wangu utatoka wapi?

2. Msaada wangu u katika BWANA,Aliyezifanya mbingu na nchi.

3. Asiuache mguu wako usogezwe;Asisinzie akulindaye;

4. Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi,Yeye aliye mlinzi wa Israeli.

Zab. 121