Zab. 113:5-8 Swahili Union Version (SUV)

5. Ni nani aliye mfano wa BWANA,Mungu wetu aketiye juu;

6. Anyenyekeaye kutazama,Mbinguni na duniani?

7. Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,Na kumpandisha maskini kutoka jaani.

8. Amketishe pamoja na wakuu,Pamoja na wakuu wa watu wake.

Zab. 113