Zab. 113:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Haleluya.Enyi watumishi wa BWANA, sifuni,Lisifuni jina la BWANA.

2. Jina la BWANA lihimidiweTangu leo na hata milele.

3. Toka maawio ya jua hata machweo yakeJina la BWANA husifiwa.

4. BWANA ni mkuu juu ya mataifa yote,Na utukufu wake ni juu ya mbingu.

Zab. 113