23. Mwanadamu atoka kwenda zake kazini,Na kwenye utumishi wake mpaka jioni.
24. Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako!Kwa hekima umevifanya vyote pia.Dunia imejaa mali zako.
25. Bahari iko kule, kubwa na upana,Ndimo mlimo viendavyo visivyohesabika,Viumbe hai vidogo kwa vikubwa.