Zab. 101:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Rehema na hukumu nitaziimba,Ee BWANA, nitakuimbia zaburi.

2. Nitaiangalia njia ya unyofu;Utakuja kwangu lini?Nitakwenda kwa unyofu wa moyoNdani ya nyumba yangu.

3. Sitaweka mbele ya macho yanguNeno la uovu.Kazi yao waliopotoka naichukia,Haitaambatana nami.

4. Moyo wa ukaidi utaondoka kwangu,Lililo ovu sitalijua.

Zab. 101