Zab. 101:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Rehema na hukumu nitaziimba,Ee BWANA, nitakuimbia zaburi.

2. Nitaiangalia njia ya unyofu;Utakuja kwangu lini?Nitakwenda kwa unyofu wa moyoNdani ya nyumba yangu.

3. Sitaweka mbele ya macho yanguNeno la uovu.Kazi yao waliopotoka naichukia,Haitaambatana nami.

Zab. 101