Zab. 100:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Mfanyieni BWANA shangwe, dunia yote;

2. Mtumikieni BWANA kwa furaha;Njoni mbele zake kwa kuimba;

3. Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu;Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake;Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.

4. Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru;Nyuani mwake kwa kusifu;Mshukuruni, lihimidini jina lake;

Zab. 100