Yer. 14:13 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo nikasema, Aa, Bwana, MUNGU! Tazama, manabii huwaambia, Hamtauona upanga, wala hamtakuwa na njaa; bali nitawapa amani iliyo thabiti mahali hapa.

Yer. 14

Yer. 14:11-17