Yer. 14:12 Swahili Union Version (SUV)

Wafungapo, mimi sitasikia kilio chao; na watoapo sadaka za kuteketezwa na sadaka ya unga, sitazitakabali; bali nitawaangamiza kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni.

Yer. 14

Yer. 14:10-20