Yer. 12:1 Swahili Union Version (SUV)

Wewe u mwenye haki, Ee BWANA, nitetapo nawe, lakini nitasema nawe katika habari ya haki. Mbona njia ya wabaya inasitawi? Mbona wote watendao hila wanakaa salama?

Yer. 12

Yer. 12:1-6