Sef. 3:13 Swahili Union Version (SUV)

Mabaki ya Israeli hawatatenda uovu, wala kusema uongo; wala ulimi wa hadaa hautaonekana kinywani mwao; kwa maana watakula na kulala, wala hapana mtu atakayewaogofya.

Sef. 3

Sef. 3:10-20