Sef. 2:11 Swahili Union Version (SUV)

BWANA atakuwa mwenye kuwatisha sana; kwa maana atawafisha kwa njaa miungu yote ya dunia; na watu watamsujudia yeye, kila mtu toka mahali pake; naam, nchi zote za mataifa.

Sef. 2

Sef. 2:10-14