Rum. 14:10 Swahili Union Version (SUV)

Lakini wewe je! Mbona wamhukumu ndugu yako? Au wewe je! Mbona wamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.

Rum. 14

Rum. 14:9-20