5. Watufuatiao wa juu ya shingo zetu;Tumechoka tusipate raha yo yote.
6. Tumewapa hao Wamisri mkono;Na Waashuri nao, ili tushibe chakula.
7. Baba zetu walitenda dhambi hata hawako;Na sisi tumeyachukua maovu yao.
8. Watumwa wanatutawala;Hakuna mtu wa kutuokoa na mikono yao.