Omb. 5:5-8 Swahili Union Version (SUV)

5. Watufuatiao wa juu ya shingo zetu;Tumechoka tusipate raha yo yote.

6. Tumewapa hao Wamisri mkono;Na Waashuri nao, ili tushibe chakula.

7. Baba zetu walitenda dhambi hata hawako;Na sisi tumeyachukua maovu yao.

8. Watumwa wanatutawala;Hakuna mtu wa kutuokoa na mikono yao.

Omb. 5