Omb. 5:18-22 Swahili Union Version (SUV)

18. Kwa ajili ya mlima Sayuni ulio ukiwa,Mbweha hutembea juu yake.

19. Wewe, BWANA, unadumu milele;Kiti chako cha enzi ni tangu kizazi hata kizazi.

20. Mbona watusahau sikuzote;Na kutuacha muda huu mwingi?

21. Ee BWANA, utugeuze kwako, nasi tutageuka; Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale.

22. Isipokuwa wewe umetukataa kabisa;Nawe una hasira nyingi sana juu yetu.

Omb. 5