13. Vijana huyachukua mawe ya kusagia;Na watoto hujikwaa chini ya kuni.
14. Wazee wameacha kwenda langoni;Na vijana kwenda ngomani.
15. Furaha ya mioyo yetu imekoma;Machezo yetu yamegeuka maombolezo.
16. Taji ya kichwa chetu imeanguka;Ole wetu! Kwa kuwa tumetenda dhambi.