Omb. 5:13-16 Swahili Union Version (SUV)

13. Vijana huyachukua mawe ya kusagia;Na watoto hujikwaa chini ya kuni.

14. Wazee wameacha kwenda langoni;Na vijana kwenda ngomani.

15. Furaha ya mioyo yetu imekoma;Machezo yetu yamegeuka maombolezo.

16. Taji ya kichwa chetu imeanguka;Ole wetu! Kwa kuwa tumetenda dhambi.

Omb. 5