Mwa. 42:36 Swahili Union Version (SUV)

Yakobo baba yao akawaambia, Mmeniondolea watoto wangu; Yusufu hayuko, wala Simeoni hayuko, na Benyamini mnataka kumchukua naye; mambo hayo yote yamenipata mimi.

Mwa. 42

Mwa. 42:29-38