Mwa. 42:35 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa walipomimina magunia yao, kumbe! Bahasha ya fedha ya kila mtu imo katika gunia lake. Nao walipoziona bahasha za fedha zao, wao na baba yao waliogopa.

Mwa. 42

Mwa. 42:27-37