Mwa. 38:18 Swahili Union Version (SUV)

Akasema, Nikupe rehani gani? Akamjibu, Pete yako ya muhuri, na kamba yake, na fimbo yako iliyo mkononi mwako. Basi akampa, akaingia kwake, naye akapata mimba.

Mwa. 38

Mwa. 38:14-22