Mwa. 31:35 Swahili Union Version (SUV)

Naye Raheli akamwambia babaye, Bwana wangu asikasirike kwa sababu siwezi kuinuka mbele yako, maana nimeshikwa na mambo ya kike. Akatafuta, wala hakuviona vile vinyago.

Mwa. 31

Mwa. 31:29-44